Governors Commitment and Plan
Twende Kilifi
Kilifi NGO Portal
Kazi Kilifi
Buy and Rent – Kilifi

Copyright 2024
Kilifi County Government
Karibu Kilifi

Back
Executive > Mazishi ya Mzee Amani Rubea

Mazishi ya Mzee Amani Rubea

Company
Nimehudhuria mazishi ya Mzee Amani Rubea Ali (97), ambaye amefariki usiku wa kuamkia leo katika eneo la mtaani Wadi ya Sokoni baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Marehemu alikuwa rafiki yangu kwa muda mrefu, na alikuwa baba wa mfanyakazi wangu, Rubea Amani, ambaye kumbukumbu ya upendo na hekima zake zitakumbukwa milele. Makiwa kwa familia yake na Mwenyezi Mungu amsamehe baba yetu madhambi yake na amuweke pamoja na waja wema waliotutangulia. Ameen.
Inna lilahi wainna ilayhi Raajiun. (Kwake yeye tumetoka na kwake yeye tutarejea).
Avatar
Editor@kilifi.go.ke
Date

April 15, 2024

error: Content is protected !!