Governors Commitment and Plan
Twende Kilifi
Kilifi NGO Portal
Kazi Kilifi
Buy and Rent – Kilifi

Copyright 2024
Kilifi County Government
Karibu Kilifi

Back
Executive > Mazishi wadi ya Mtepeni

Mazishi wadi ya Mtepeni

Company
Mapema leo nilihudhuria hafla ya mazishi ya marehemu Mama Linnah Mkasi Buni katika eneo la Majengo Kanamai, Wadi ya Mtepeni-Kilifi Kusini.
Marehemu Linnah Buni atakumbukwa kama Mama mcha Mungu, mpenda maendeleo, kiongozi mkakamavu aliyewahi kuwa Diwani mteule na vile vile kuhudumu kama mwenyekiti wa kitaifa wa chama cha Shirikisho.
Kwa familia ya Mzee Buni, jamaa na marafiki wa marehemu, pokeeni salamu zangu za rambirambi, na za Gavana Gideon Maitha Mung’aro kwa kuondokewa na mpendwa wenu. Mwenyezi Mungu awape subra wakati huu wa msiba na mzidi kuweka tumaini lenu kwake akiwa ndiye mfariji wa karibu wakati wa majonzi.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu Linnah Mkasi Buni mahali pema peponi. Amina.
Avatar
Editor@kilifi.go.ke
Date

July 6, 2024

error: Content is protected !!